• HABARI MPYA

    Saturday, September 15, 2018

    LIVERPOOL YASHINDA MECHI YA TANO MFULULIZO ENGLAND, SPURS YAFA 2-1 WEMBLEY

    Roberto Firmino akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 54, kufuatia Georginio Wijnaldum kufunga la kwanza dakika ya 39 kabla ya kiungo Muargentina, Erik Lamela kuifungia Tottenham Hotspur dakika ya 90 na ushei Wekundu hao wa Anfield wakishinda 2-1 Uwanja wa Wembley mjini London huo ukiwa ushindi wa tano mfululizo katika mechi zote tano za mwanzo za Ligi Kuu ya England 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL YASHINDA MECHI YA TANO MFULULIZO ENGLAND, SPURS YAFA 2-1 WEMBLEY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top