Roberto Firmino akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 54, kufuatia Georginio Wijnaldum kufunga la kwanza dakika ya 39 kabla ya kiungo Muargentina, Erik Lamela kuifungia Tottenham Hotspur dakika ya 90 na ushei Wekundu hao wa Anfield wakishinda 2-1 Uwanja wa Wembley mjini London huo ukiwa ushindi wa tano mfululizo katika mechi zote tano za mwanzo za Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former England rugby captain and World Cup winner Phil Vickery is declared
BANKRUPT as documents show he owes 'hundreds of thousands of pounds'
-
The Office of the Adjudicator granted Phil Vickery's request to be made
bankrupt on February 21 and on or before that date he stood down from at
least four...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment