Nahodha wa Liverpool, Jordan Henderson akisaini mkataba mpya wa miaka mitano kuendelea kuichezea timu hiyo leo. Kiungo huyo wa kimataifa wa England mwenye umri wa miaka 28 alijiunga na Liverpool mwaka 2011 akitokea Sunderland na hadi sasa amekwishacheza mechi 283 na kufunga mabao 24 na alipewa Unahodha baada ya kuondoka kwa Steven Gerrard PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Matildas goalkeeper Mackenzie Arnold makes a HUGE change in her battle
against hearing loss
-
Matildas first choice goalkeeper Mackenzie Arnold has confirmed she will
make a huge change on the pitch as anticipation continues to build ahead of
the Pa...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment