Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp akishangilia na mshambuliaji wake, Mbrazil Roberto Firmino baada ya mechi kufuatia kutokea benchi na kuifungia timu hiyo bao la ushindi dakika ya 90 na ushei ikiwalaza Paris Saint-Germain 3-2 katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Anfield usiku wa Jumanne. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Daniel Sturridge dakika ya 30 na James Milner kwa penalti dakika ya 36 kufuatia Georginio Wijnaldum kuchezewa rafu, wakati mabao ya PSG yamefungwa na Thomas Meunier dakika ya 40 na Kylian Mbappe dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Seahawks' Sam Howell Says He's 'Got to Be Smarter' with INTs After
Commanders Trade
-
Seattle Seahawks quarterback Sam Howell said he has "got to be smarter"
after throwing a NFL-high 21 interceptions for the Washington Commanders
last season.…
47 minutes ago
0 comments:
Post a Comment