Gareth Bale akishangilia baada ya kuifungia Wales bao la pili dakika ya 18 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Ireland usiku wa jana Uwanja wa Cardiff City kwenye michuano ya Ligi ya Mataifa Ulaya, hilo likiwa bao lake la 30 anaifungia timu yake hiyo ya taifa katika mechi ya 71 kucheza. Mabao mengine ya Wales yalifungwa na Tom Lawrence dakika ya sita, Aaron Ramsey dakika ya 37 na Connor Roberts dakika ya 55 huku la Ireland likifungwa na Shaun Williams dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Watch Shohei Ohtani get introduced as a Dodger for the first time by Brian
Cranston at Dodger Stadium on Opening Day amid a betting scandal and the
firing of his former interpreter Ippei Mizuhara
-
Los Angeles Dodgers star Shohei Ohtani tried to put on a happy face as he
was introduced as a member of his new team for the first time amid chaos
off the ...
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment