Mshambuliaji wa Azam FC, Mbaraka Yussuf Abeid (kushoto) akimtoka mchezaji wa Arusha United katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi mjini Dar es Salaam uliomalizika kwa sare ya 0-0
Winga wa Azam FC Ramadhani Singano 'Messi' akimtoka beki wa Arusha United
Beki wa Azam FC, Mzimbabwe Bruce Kangwa akimtoka beki wa Arusha United
Kiungo wa Azam FC, Salmin Hoza akimiliki mpira mbele ya kiungo wa Arusha United
Mshambuliaji wa Azam FC, Paul Peter akipiga mpira mbele ya mchezaji wa Arusha United
U18s preview | Arsenal v Aston Villa
-
Everything you need to know as we host Aston Villa in our penultimate home
game of the season
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment