• HABARI MPYA

    Sunday, September 16, 2018

    ALVARES AMSHINDA GOLOVKIV KWA UTATA TENA

    Canelo Alvarez (kushoto) akimchapa Gennady Golovkin alfajiri ya leo katika pambano la marudiano baina yao ukumbi wa T-Mobile Arena mjini Las Vegas, Marekani kuwania mataji ya IBO, WBA na WBC uzito wa Middle. Alvarez alishinda kwa pointi majaji wawili, 115-113 huku mwingine akitoa droo 114-114. Golovkin alilalamika kudhulumiwa kwa mara ya pili baada ya pambano la mwaka jana kutolewa droo 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ALVARES AMSHINDA GOLOVKIV KWA UTATA TENA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top