Canelo Alvarez (kushoto) akimchapa Gennady Golovkin alfajiri ya leo katika pambano la marudiano baina yao ukumbi wa T-Mobile Arena mjini Las Vegas, Marekani kuwania mataji ya IBO, WBA na WBC uzito wa Middle. Alvarez alishinda kwa pointi majaji wawili, 115-113 huku mwingine akitoa droo 114-114. Golovkin alilalamika kudhulumiwa kwa mara ya pili baada ya pambano la mwaka jana kutolewa droo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Just not good enough' - Klopp takes blame for derby defeat
-
Liverpool manager Jurgen Klopp says his side were "just not good enough" in
their 2-0 Premier League defeat to Merseyside rivals Everton at Goodison
Park.
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment