Wachezaji wa Simba SC wakimwagia maji na matope mwenzao, kiungo Shiza Ramadhani Kichuya katika kambi yao ya Uturuki jana kuazimisha siku yake ya kuzaliwa
Hapa wachezaji wote wa Simba SC wakiwa mbeleya hoteli waliyoweka kambi
Kocha Mbelgiji wa Simba SC, Patrick J Aussems akiwa kwenye basi wakati wa safari ya kuelekea Uwanja wa Ndege
Hapa wachezaji wa Simba SC wakitembea eneo la Uwanja wa Ndege wa Istanbul
Hili ni basi la wachezaji wa Simba SC baada ya kupambwa upya na wadhamini wao, kampuni ya SportPesa
Basi hili litawapokea wachezaji wa Simba SC watakapowasili Alfajifi
Mmoja wa mashabiki wa Simba SC akijitolea damu eneo la Boma, Uwanja Karume, Dar es Salaam kwa hisani kuelekea Simba Day Agost
0 comments:
Post a Comment