Mshambuliaji Mmisri, Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la tatu dakika ya 58 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Napoli kwenye mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Aviva mjini Dublin. Mabao megine ya Liverpool yamefungwa na James Milner dakika ya nne, Georginio Wijnaldum dakika ya tisa, Daniel Sturridge dakika ya 73 na Alberto Moreno dakika ya 77 kipa mpya, Mbrazil Alisson Ramses Becker aliyesajiliwa kutoka Roma akianza vyema kwa kusimama langoni kwa mara ya kwanza bila kuruhusu bao PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Vincent Kompany called referee Darren England a 'f*****g cheat'
multiple times in furious tirade at official after he gave Chelsea a
penalty against Burnley in 2-2 draw last month
-
EXCLUSIVE BY MIKE KEEGAN: Kompany was fined £10,000 and handed a two-match
touchline ban - with one of the games suspended - following the explosive
outbur...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment