Gareth Bale akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kuifungia Real Madrid bao la kusawazisha dakika ya 39 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Juventus kwenye mchezo wa kirafiki Uwanja wa FedExField, Landover, Maryland nchini Marekani. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Marco Asensio yote dakika za 47 na 56 wakati la Juve iliyomkosa mshambuliaji wake mpya, Cristiano Ronaldo ambaye anaendelea na mazoezi ya peke yake mjini Turin limefungwa na Daniel Carvajal aliyejifunga dakika ya 12 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Phil Foden reveals what it's REALLY like to play for Pep Guardiola in an
It's All Kicking Off podcast special
-
The 23-year-old, who announced this week that he and his girlfriend are
expecting their third child, sat down with It's All Kicking Off co-host and
Mail Sp...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment