Nahodha wa Manchester United leo, Paul Pogba akiifungia kwa penalti bao la kwanza Manchester United dakika ya tatu baada ya Daniel Amartey wa Leicester City kuunawa mpira kwenye boksi. United imeanza vyema Ligi kwa ushindi wa 2-1, bao la pili likifungwa na Luke Shaw dakika ya 83, kabla Jamie Vardy kuifungia la kufutia machozi Leicester dakika ya 90 ushei Uwanja wa Old Trafford leo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Raducanu falls to Swiatek in Stuttgart quarter-finals
-
Britain's Emma Raducanu falls to world number one and defending champion
Iga Swiatek in the quarter-finals of the Stuttgart Open.
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment