HIGUAIN ATUA AC MILAN KWA MKOPO KUMPISHA RONALDO JUVEGonzalo Higuain akiwa amepozi na jezi ya AC Milan kuelekea kufanyiwa vipimo vya afya kwa ajili ya kukamilisha uhamisho wake wa mkopo wa muda mrefu wa msimu timu hiyo kutoka Juventus, zote za Italia. Juve inamuacha Higuain baada ya kumnunua Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo kwa Pauni Milioni 100 kutoka Real Madrid ya Hispania PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ashley Cole names his dream XI made up of ex-Arsenal and Chelsea team-mates
after his Premier League Hall of Fame induction... so who makes the cut
along with Thierry Henry, Frank Lampard and John Terry?
-
The left-back became the 22nd inductee into the Premier League Hall of Fame
this week. He is widely regarded as the best left-back in Premier League
history.
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment