Kipa Rob Green akiokoa penalti ya Pape Cheikh Diop katika mechi yake ya kwanza kuidakia Chelsea ikishinda kwa penalti 5-4 dhidi ya Lyon ya Ufaransa katika fainali ya Kombe la Mabingwa wa Kimataifa jana Uwanja wa Stamford Bridge na kumpa nafasi Eden Hazard kufunga penalti ya mwisho ya ushindi baada ya sare ya 0-0 ndani ya dakika 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester United F.C. News
-
Test your knowledge on our history in the Emirates FA Cup last four, ahead
of Sunday’s Wembley outing.
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment