• HABARI MPYA

    Tuesday, July 10, 2018

    UMTITI AIPELEKA UFARANSA FAINALI KOMBE LA DUNIA, UBELGIJI YAPIGWA 1-0

    Beki Samuel Umtiti (wa pili kushoto) akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kuifungia Ufaransa bao pekee la ushindi dakika ya 51 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Ubelgiji kwenye mchezo wa Nusu Fainali Kombe la Dunia leo Uwanja wa Saint-Petersburg nchini Urusi. Ufaransa itakutana na mshindi wa Nusu Fainali ya pili kesho kati ya England na Croatia 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: UMTITI AIPELEKA UFARANSA FAINALI KOMBE LA DUNIA, UBELGIJI YAPIGWA 1-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top