Beki Samuel Umtiti (wa pili kushoto) akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kuifungia Ufaransa bao pekee la ushindi dakika ya 51 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Ubelgiji kwenye mchezo wa Nusu Fainali Kombe la Dunia leo Uwanja wa Saint-Petersburg nchini Urusi. Ufaransa itakutana na mshindi wa Nusu Fainali ya pili kesho kati ya England na Croatia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Travis Kelce's ex Kayla Nicole cautions Taylor Swift fans ahead of
'Tortured Poets Department' release amid rumors that one of the songs is
about the Chiefs tight end: 'Everyone has a breaking point'
-
As rumors swirl about Taylor Swift writing a song about Travis Kelce and
including it in her upcoming album, Kelce's ex-girlfriend is clapping back
at Swif...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment