Aliyekuwa Mbunge wa Korogwe mkoani Tenga, Stepgen Ngonyani ‘Profesa Maji Marefu’ (wa pili kushoto mbele, mwenye baraghashi) akiwa na Waandishi wa habari za Michezo wa Tanzania mwaka 2003 mbele ya hoteli ya Safari Park mjini Nairobi, Kenya ambao aliwasafirisha kwenda kuripoti mchezo wa kimataifa kati ya wenyeji, Harambee Stars na Taifa Stars. Mungu ampumzishe kwa amani Profesa Maji Marefu aliyefariki dunia usiku wa kuamkia Julai 3, mwaka huu hospitali ya Muhimbili, Dar es Salaam
Shohei Ohtani 'Grateful' for Dodgers for Showing Support Amid Ippei
Mizuhara Probe
-
Shohei Ohtani expressed gratitude for the support he has received from the
Los Angeles Dodgers amid the ongoing investigation into gambling
allegations…
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment