Winga wa Azam FC, Joseph Kimwaga akimtoka mchezaji wa Gor Mahia katika mchezo wa Nusu Fainali Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Azam ilishinda 2-0
Joseph Kimwaga akiwania mpira wa juu dhidi ya mchezaji wa Gor Mahia jana
Kiungo wa Azam FC, Salum Abubakar 'Sure Boy'akipambana katikati ya wachezaji wa Gor Mahia
Mshambuliaji wa Azam FC, Ditram Nchimbi akipambana na mchezaji wa Gor Mahia
Kiungo wa Azam FC, Mudathir Yahya akifumua shuti dhidi ya wachezaji wa Gor Mahia
Kocha wa Azam FC, Mholanzi Hans van der Pluijm akimpa maelekezo winga Joseph Kimwaga baada ya dakika 90 kumalizika timu hizo zikiwa hazijafungana kabla ya mabingwa hao watetezi kupata mabao yao mawili ndani ya dakika 30 za nyongeza
NBA Rumors: 76ers Didn't File Formal Protest over Officiating After G2 Loss
to Knicks
-
The Philadelphia 76ers declared their intentions to file a grievance with
the NBA over the officiating in the first two games of their first-round
playoff…
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment