Harry Wilson (wa pili kulia) akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Liverpool mabao mawili katika ushindi wa 7-0 dhidi ya Chester kwenye mchezo wa kirafiki Uwanja wa Swansway Chester jana. Mabao mengine ya Liverpool katika mchezo ambao wachezaji wapya, viungo Naby Keita na Fabinho walioigharimu klabu karibu Pauni Milioni 100 walicheza kwa mara ya kwanza baada ya kusailiwa, yalifungwa na Daniel Sturridge mawili pia, Ryan Kent, Danny Ings na James Milner kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cowboys Rumors: Ezekiel Elliott's Reps Meeting at Facility Ahead of 2024
NFL Draft
-
The Dallas Cowboys hosted a visit with a representative for free-agent
running back Ezekiel Elliott, according to Josina Anderson of CBS Sports.
Elliott sp...
52 minutes ago
0 comments:
Post a Comment