Dele Alli akishangilia baada ya kuifungia bao la pili England dakika ya 58 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Sweden leo Uwanja wa Samara Arena nchini Urusi katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la Dunia, baada ya Harry Maguire kufunga la kwanza dakika ya 30. England sasa itakutana na mshindi kati ya Urusi na Croatia katika Nusu Fainali wiki ijayo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tim Tszyu is left stunned by his giant opponent's 's**t' act just before
their world title fight: 'Professionals don't do that'
-
The Aussie will be giving away an amazing 23cm in height to his 197cm
rival, not to mention a huge reach advantage. But a detail in the
American's preparat...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment