Kiungo Steven Zuber akishangilia kwenye kibendera cha kona baada ya kuifungia bao la kusawazisha Uswisi dakika ya 50 katika sare ya 1-1 na Brazil leo kwenye mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia Uwanja wa Rostov Arena nchini Urusi, kufuatia Philippe Coutinho kuanza kuwafungia wenyeji wa fainali zilizopita mwaka 2014 dakika ya 20 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool's Europa League hopes ended by Atalanta
-
Liverpool's hopes of ending Jurgen Klopp's reign with a European trophy are
over after they fail to overturn a first-leg deficit against Atalanta.
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment