Zinedine Zidane akishangilia baada ya kufunga kwa mpira wa adhabu dakika ya 49, kikosi cha nyota walioipa Ufaransa Kombe la Dunia mwaka 1998 kikipata ushindi wa 3-2 dhidi ya kikosi cha nyota wote wa fainali za Kombe la dunia mwaka 1998, All Star kilichoongozwa na kocha wa zamani wa Arsenal, Mfaransa Arsene Wenger jana mjini Nanterre, Ufaransa. Mabao mengine ya Ufaransa 98 yalifungwa na Thierry Henry dakika ya 22 na Vincent Candela dakika ya 67, wakati ya kikosi cha Dunia 98 yalifungwa Fernando Morientes dakika ya nane na Gaizka Mendieta dakika ya 60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former England rugby captain and World Cup winner Phil Vickery is declared
BANKRUPT as documents show he owes 'hundreds of thousands of pounds'
-
The Office of the Adjudicator granted Phil Vickery's request to be made
bankrupt on February 21 and on or before that date he stood down from at
least four...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment