Denis Cheryshev akinyoosha mikono juu kushangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 43 na 90 na ushei katika ushindi wa 5-0 wa wenyeji wa Fainali za Kombe la Dunia 2018, Urusi dhidi ya Saudi Arabia katika mchezo wa ufunguzi wa Kundi A Ijumaa Uwanja wa Luzhniki mjini Moscow. Mabao mengine ya Urusi yalifungwa na Iury Gazinsky dakika ya 12, Artem Dzyuba dakika ya 71 na Aleksandr Golovin dakika ya 90 na zaidi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wheatley reacts to historic 'honour'
-
See what 18-year-old Ethan said, after becoming the club's 250th player to
graduate from the Academy.
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment