• HABARI MPYA

    Saturday, June 09, 2018

    SAMATTA NA WANYAMA WALIPOKUTANA UZINDUZI WA NDONDO CUP

    Nahodha wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Mbwana Samatta (kushoto) anayechezea klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji akiwa Nahodha wa Kenya, Victor Wanyama anayechezea Tottenham Hotspur ya England katika uzinduzi wa Mashindano ya Ndondo Cup Uwanja wa Kinesi, Shekilango, Dar es Salaam jana  
    Awali ya hapo, Victor Wanyama (katikati) alikuwa visiwani Zanzibar kwa utalii
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SAMATTA NA WANYAMA WALIPOKUTANA UZINDUZI WA NDONDO CUP Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top