Gwiji wa Real Madrid, Mreno Luis Figo akimtoka gwiji wa Arsenal, Mfaransa Robert Pires katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Bernabeu mjini Madrid. Katika mchezo huo wa hisani kuchangia mfuko wa Arsenal ( The Arsenal Foundation) Real Madrid ilishinda 2-1 mabao yake yakifungwa na Raul dakika ya sita na Guti dakika ya 20, wakati la Washika Bunduki wa London lilifungwa na Luis Boa Morte dakika ya 18 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tyson Fury could still pull out of the Oleksandr Usyk fight claims George
Groves as vents about the WBC not penalising the Gypsy King
-
George Groves believes Tyson Fury could still pull out of the undisputed
title fight with Oleksandr Usyk and claims the WBC will do nothing about it.
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment