Mtendaji Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wilfred Kidau (kushoto) akizungumza na Ofisa wa shirikisho hilo, Jemedari Said kabla ya fainali ya Kombe la TFF, maarufu kama Azam Sports Federation (ASFC) kati ya Mtibwa Sugar na Singida United Jumamosi Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha
Wilfred Kidau na Jemadari Said ni marafiki tangu miaka ya 1990 walipokuwa wanacheza soka
Yalikuwa mazungumzo yaliyokuja muda mfupi kabla ya mchezo kuanza
Baadaye kabla ya mechi kuanza Wilfred Kidau akaenda kuzungumza oia na Mkurugenzi wa Mtibwa Sugar, Jamal Bayser (kushoto)
Mtibwa Sugar ilifanikiwa kutwaa tajinASFC kwa ushindi wa mabao 3-2
NFL Draft Rumors: Drake Maye Will 'Be No Worse' Than No. 3 Pick amid
Patriots Buzz
-
Less than one week away from the start of the 2024 NFL draft, Drake Maye's
stock appears to be trending up. Per ESPN's Matt Miller, the feeling among
people…
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment