• HABARI MPYA

    Sunday, June 17, 2018

    MTANZANIA AIFUNGIA BAO PEKEE LA USHINDI DENMARK

    Mshambuliaji wa Denmark mwenye asili ya Tanzania, Yussuf Poulsen akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao pekee la ushindi dakika ya 59 ikiilaza 1-0 Peru katika mchezo wa Kundi C Kombe la Dunia Uwanja wa Mordovia Arena mjini Saransk. Christian Cueva alikosa penalti 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MTANZANIA AIFUNGIA BAO PEKEE LA USHINDI DENMARK Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top