• HABARI MPYA

    Sunday, June 10, 2018

    MTANANGE WA TEAM SAMATTA V TEAM KIBA KATIKA PICHA JANA TAIFA

    Mshambuliaji Mbwana Samatta wa KRC Genk ya Ubelgiji akipasua katikati ya Said Ndemla (kushoto) na Abdi Kassim 'Babbi' wa timu ya mwanamuziki Ali Kiba na Marafiki zake jana katika mchezo wa kirafiki wa Hisani uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu ya Samatta na Rafiki zake ilishinda 4-2
    Kiungo Mrisho Ngassa akijivuta kupiga mpira pembeni ya James Msuva 
    Mohammed Bin Slum na Ally Kiba wakimdhibiti Issa Rashid 'Baba Ubaya' wa timu Samatta 
    Amri Kiemba wa Team Samatta akimiliki mpira pembeni ya Shaaban Kisiga wa Team Kiba 
    Ibrahim Ajibu wa Team Kiba akimiliki mpira katikati ya wachezaji wa Team Samatta 
    Rashid Mandawa akiwapita wachezaj wa Team Kiba  
    Kiungo Said Ndemla wa Team Kiba akimiliki mpira mbele ya Henry Joseph wa Team Samatta 
    Ally Kiba akimtambulisha Abdi Kassim 'Babbi' kwa Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo kabla ya mechi kuanza jana 
    Kikosi cha Team Kiba kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa 
    Kikosi cha Team Samatta kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa  
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MTANANGE WA TEAM SAMATTA V TEAM KIBA KATIKA PICHA JANA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top