Winga wa kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva (katikati) akiwa na wachezaji wenzake wa Difaa Hassan El- Jadida juzi mjini Jadida nchini Morocco wakati wa mazoezi ya kujiandaa na mechi za makundi za Ligi ya Mabingwa Afrika na kwa ujumla pamoja na msimu mpya kufuatia mapumziko ya wiki tatu. Msuva amerejea Morocco wiki hii baada ya kuwa nyumbani kwa mapumziko kwa muda wote huo
Top lawyer reveals the loophole that will save footy star Braydon Trindall
from getting in trouble for failing a drug test after partying with
teammates
-
The 24-year-old Cronulla star was pulled over at 9.45am on Monday in the
southern Sydney suburb of Caringbah. He has been stood down from training
and play...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment