Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe akiwahutubia mamia ya wanachama wa klabu ya Yanga waliojitokeza kwenye mkutano mkuu wa mwaka Bwalo la Maafisa wa Jeshi la Polisi, Oysterbay mjini Dar es Salaam leo
Mamia ya wanachama wa klabu ya Yanga waliojitokeza kwenye mkutano mkuu wa mwaka Bwalo la Maafisa wa Jeshi la Polisi, Oysterbay mjini Dar es Salaam leo
Wanachama wa klabu ya Yanga waliojitokeza kwenye mkutano mkuu wa mwaka wa klabu yao leo
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe akiondoka baada ya kufungua mkutano
Kiongozi wa zamani wa Yanga, Mussa Katabaro pamoja na kwamba ni mgonjwa ametoka kufanyiwa upasuaji wa mguu hivi karibuni nchini India kufuatia ajali mbaya ya gari, lakini kwa mapenzi na klabu yake amejitokeza mkutanoni
Rais wa kwanza wa Yanga kabla ya klabu kurejea kwenye mfumo wa Mwenyekiti kama kiongozi mkuu, Tarimba Abbas alikuwepo pia leo
Mike Tyson brawls TOPLESS in the street with Shannon 'The Cannon' Briggs as
fans look on, before sharing a laugh together during a Brooklyn reunion
-
Mike Tyson brawled topless with Shannon 'The Cannon' Briggs after a street
reunion in Brooklyn - as the pair were surrounded by fans.
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment