Nyota wa Atletico Madrid, Jose Gimenez (kulia) akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao pekee la ushindi Uruguay dakika ya 89 ikiilaza 1-0 Misri katika mchezo wa Kunsi A Kombe la Dunia Uwanja wa Ekaterinburg Arena mjini Ekaterinburg, Urusi leo. Misri ilimkosa nyota wake, Mohamed Salah aliyekuwa benchi kutokana na maumivu ya bega aliyoyapata katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, klabu yake, Liverpool ikifungwa 3-1 na Real Madrid mwezi uliopita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Newcastle star is named manager of new UAE side Al Qabila ahead of
their first top flight season in Dubai as the the club tease arrival of
'legendary' ex-defender
-
The club released a video on TikTok telling fans that they would be
unveiling their new head coach, who they said was a 'legend' whose
experience was 'unma...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment