Nahodha wa Argentina, Lionel Messi akisikitika baada ya mkwaju wake wa penalti kuokolewa na kipa, Hannes Halldorsson dakika ya 64 kufuatia Hordur Magnusson kuchezewa faulo na Maximiliano Meza wa Iceland katika sare ya 1-1 kwenye mchezo wa Kundi D Kombe la Dunia Uwanja wa Spartak Arena mjini Moscow, Urusi. Argentina ilitangulia kwa bao la Sergio Aguero dakika ya 19, kabla ya Alfred Finnbogason kuisawazishia Iceland dakika ya 23 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool summer signing 'linked with shock exit from Anfield after just
seven months'... with Galatasaray interested in signing the out-of-favour
star
-
One of Liverpool's summer signings from last year could be making a swift
exit from the club after falling down the pecking order at Anfield,
according to ...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment