Kipa Manuel Neuer akiokoa wakati wa mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Austria akiidakia Ujerumani kwa mara ya kwanza tangu Septemba mwaka jana alipoumia mguu, Katika mchezo huo uliofanyika Uwanja wa Worthersee mjini Klagenfurt am Worthersee, Austria ilishinda 2-1 mabao yake yakifungwa na Martin Hinteregger dakika ya 53 na Alessandro Schopf dakika ya 69, baada ya Mesut Ozil kutangulia kuifungia Ujerumani dakika ya 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tyson Fury could still pull out of the Oleksandr Usyk fight claims George
Groves as vents about the WBC not penalising the Gypsy King
-
George Groves believes Tyson Fury could still pull out of the undisputed
title fight with Oleksandr Usyk and claims the WBC will do nothing about it.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment