Kipa wa Hispania, David de Gea akiwa mnyonge baada ya kufanya makosa yaliyompa nafasi Ricardo Rodriguez (kulia) kuisawazishia bao Uswisi dakika ya 62 baada ya beki wa kulia, Alvaro Odriozola kuanza kuwafungia wenyeji dakika ya 29 katika sare ya 1-1 usiku wa jana Uwanja wa Ceramica mjini Villarreal kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa kujiandaa na Kombe la Dunia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Devin Haney Eyes Ryan Garcia Rematch, Wants 'Fair Fight' Under Agreed Weight
-
Devin Haney lobbied for a rematch with Ryan Garcia following his stunning
upset on April 20. "Ryan, despite the circumstances was victorious that
night and…
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment