Gwiji wa Manchester United, Mfaransa Eric Cantona (kulia) katika umri wa miaka 52 akiwa Uwanja wa Old Trafford jana wakati wa mchezo wa Soccer Aid baina ya kikosi cha Dunia, World XI dhidi ya England XI. England ilishinda kwa penalti 4-3 baada ya sare ya 3-3. Mabao ya England yalifungwa na Darren Bent, nyota wa F2 Freestyle, Jeremy Lynch na Michael Owen ya kikosi cha Dunia yalifungwa na Robbie Keane, nyota wa zamani wa Man United, Juan Veron na Clarence Seedorf kabla ya matuta kuamua mshindi kipa David Seaman akimfunika Edwin Van der Sar PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Predicting Every Premier League Team's Final Position with 1 Month to Go
-
On May 19, the 2023-24 Premier League season will officially draw to a
close. It's been a thrilling campaign, and there could still be some twists
to the t...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment