Beki wa kimataifa wa Tanzania, Abdi Banda (kushoto) akiwa mchezaji wa zamani nyota nchini, Abdi Kassim 'Babbi' baada ya kukutana kwenye mazoezi ya timu ya mwanamuziki Ali Kiba na Rafiki zake jana Uwanja wa Jakaya Mrisho Kikwete (JMK) Park, eneo la Gerezani, katika kujiandaa na mchezo wa Hisani dhidi ya timu ya Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta na Rafiki zake unaofanyika leo Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
Abdi Kassim, kiungo wa zamani wa Yanga na Taifa Stars (kushoto) akiwa ba kipa Shaaban Kado
Abdi Banda akijifua leo kujiandaa kwenda kumdhibiti Mbwana Samatta
Ali 'King' Kiba mwenyewe (kulia) akiwa mazoezini jana
Kiungo Ally Bin Slum akiwa hoi baada ya mazoezi kidogo tu jana
Mzee wa Mashuti Kariakoo hadi Chamazi akiwa mazoezini jana JMK Park
Erik ten Hag insists Man United will 'move on' after Alejandro Garnacho
apologises for liking critical social media posts... but admits the winger
has 'to learn a lot'
-
Alejandro Garnacho has apologised for the social media 'likes' that led to
him being reprimanded by Manchester United manager Erik ten Hag.
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment