• HABARI MPYA

    Saturday, June 09, 2018

    ABDI BANDA ALIPOKUTANA NA ABDI KASSIM 'BABBI' JANA

    Beki wa kimataifa wa Tanzania, Abdi Banda (kushoto) akiwa mchezaji wa zamani nyota nchini, Abdi Kassim 'Babbi' baada ya kukutana kwenye mazoezi ya timu ya mwanamuziki Ali Kiba na Rafiki zake jana Uwanja wa Jakaya Mrisho Kikwete (JMK) Park, eneo la Gerezani, katika kujiandaa na mchezo wa Hisani dhidi ya timu ya Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta na Rafiki zake unaofanyika leo Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam  
    Abdi Kassim, kiungo wa zamani wa Yanga na Taifa Stars  (kushoto) akiwa ba kipa Shaaban Kado  
    Abdi Banda akijifua leo kujiandaa kwenda kumdhibiti Mbwana Samatta
    Ali 'King' Kiba mwenyewe (kulia) akiwa mazoezini jana 
    Kiungo Ally Bin Slum akiwa hoi baada ya mazoezi kidogo tu jana
    Mzee wa Mashuti Kariakoo hadi Chamazi akiwa mazoezini jana JMK Park
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ABDI BANDA ALIPOKUTANA NA ABDI KASSIM 'BABBI' JANA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top