Mabeki wa Yanga, Juma Abdul (kulia) na Gardiel Michael (kushoto) wakiingia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) leo jioni wakati wa safari ya kwenda mjini Algiers, Algeria kwa ajili ya mchezo wao wa ufunguzi wa Kundi D Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya wenyeji, U.S.M. Alger Jumapili
Yanga wanapitia Dubai katika safari yao hiyo
Kipa wa pili wa Yanga SC, Ramadhani Kabwili akiingia JNIA leo kwa safari ya Algeirs
Kipa wa pili wa Yanga SC, Ramadhani Kabwili akiingia JNIA leo kwa safari ya Algeirs
0 comments:
Post a Comment