Wachezaji wa Barcelona wakimrusha juu mkongwe, Andres Iniesta Lujan katika sherehe za kumuaga jana baada ya mechi ya La Liga dhidi ya Real Sociedad Uwanja wa Camp Nou wakishinda 1-0. Iniesta mwenye umri wa miaka 34 sasa anaondoka Barca baada ya miaka 22 tangu ajiunge nayo mwaka 1996 akiwa kijana mdogo akianzia akademi la La Masia kabla ya kupandishwa kikosi cha kwanza mwaka 2002 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Fans Troll Warriors for Fall Behind Lakers in Playoff Standings with
Knicks Loss
-
NBA fans on X had fun at the Golden State Warriors' expense Monday night,
as a 119-112 home loss to the New York Knicks dropped them back down to the
No. 10…
55 minutes ago
0 comments:
Post a Comment