Bondia David Haye (kulia) akimtambia mpinzani wake, Tony Bellew leo wakati wa kupima uzito kuelekea pambano lao la Jumamosi usiku ukumbi wa 02 Arena, Millenium Dome, Greenwich. Hilo ni pambano la marudiano baada ya Bellew kushinda kwa Knockout (TKO) raundi ya 11 Machi 4 mwaka jana kufuatia Haye kuumia mguu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
U17 will Einzug ins Halbfinale um die Deutsche Meisterschaft absichern
-
Während Borussias U17 Sonntag im Gastspiel bei Borussia Mönchengladbach (11
Uhr) auch die letzten theoretischen Zweifel am Einzug ins Halbfinale um die
Deu...
53 minutes ago
0 comments:
Post a Comment