Bondia David Haye akijisomba somba kuinuka baada ya kuanguka chini kufuatia kipigo cha mpinzani wake, Muingereza mwenzake Tony Bellew (hayupo pichani) katika pambano lisilo la ubingwa uzito wa juu jana ukumbi wa O2 Arena, London. Bellew alishinda kwa Technical Knockout (TKO) raundi ya tano baada ya refa Howard Foster kusimamisha pambano kufuatia Haye kuanguka chini mara mbili raundi ya tatu. Hilo lilikuwa pambano la marudiano baada ya Haye kupigwa tena kw TKO Novemba mwaka jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Captain fantastic Bruno Fernandes is Man United's own superhero... the new
era at Old Trafford must be built around their Portuguese superstar, writes
NATHAN SALT
-
NATHAN SALT: Man United have their very own superhero in captain Bruno
Fernandes and INEOS must ensure the team of the future is built around him
starting ...
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment