Wachezaji wa Chelsea wakishangilia na taji la ubingwa wa Kombe la FA baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Manchester United leo, bao pekee la Eden Hazard kwa penalti dakika ya 22 akimchambua vizuri David De Gea kufuatia yeye mwenyewe kuangushwa na Phil Jones kwenye boksi. Alexis Sanchez alidhani amefunga bao la kusawazisha kipindi cha pili, lakini akaambiwa alikuwa ameotea PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mel Kiper 2024 NFL Mock Draft: McCarthy to Vikings, Nix to Broncos as 5 QBs
Go Top 12
-
Now that the first wave of free agency is in the books, ESPN's Mel Kiper
Jr. has released his third mock draft of the offseason. The top four picks
remain ...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment