Shane Duffy (kushoto) wa Brighton & Hove Albion akiwa juu kuwania mpira na Harry Kane wa Tottenham Hotspur katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumanne Uwanja wa The AMEX, Falmer, East Sussexnd timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Kane alianza kuifungia Spurs dakika ya 48 kabla ya Pascal Gross kuwasawazishia wenyeji kwa penalti dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Coaches Shade Brock Bowers: 'Less Explosive' and 'an Expensive Luxury
Item'
-
Georgia tight end Brock Bowers was almost a cheat code in college, but fans
might have to reset their expectations for the 6'3" pass-catcher. The
Athletic's…
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment