• HABARI MPYA

    Tuesday, April 17, 2018

    SIMBA SC NA TANZANIA PRISONS KATIKA PICHA JANA TAIFA

    Nahodha na mshambuliaji wa Simba SC, John Bocco akimtoka beki wa Tanzania Prisons, Nurdin Chona katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simba ilishinda 2-0
    Jumanne Elfadhil wa Tanzania Prisons (kulia) akiufuata mpira baada ya mshambuliaji wa Simba, Mganda Emmanuel Okwi (kushoto) kuanguka 
    Emmanuel Okwi wa Simba akiondoka na mpira dhidi ya Jumanne Elfadhil 
    Eliuter Mpepo wa Tanzania Prisons akiwa juu kupiga mpira kichwa dhidi ya beki wa Simba, Mghana Asante Kwasi 
    Ramadhani Ibata wa Tanania Prisons akimlamba chenga Erasto Nyoni wa Simba SC (kulia)
    Freddy Chudu wa Tanzania Prisons akimiliki mpira mbele ya Shiza Kichuya wa Simba
    Asante Kwasi wa Simba akipambana katikati ya wachezaji wa Tanzania Prisons 
    Benjamin Asukile wa Tanzania Prisons akipanda na mpira dhidi ya beki wa Simba, Shomary Kapombe
    Kikosi cha Tanzania Prisons kabla ya mchezo wa jana  
    Kikosi cha Simba SC kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC NA TANZANIA PRISONS KATIKA PICHA JANA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top