Nyota wa Misri, Mohamed Salah akishangilia mbele ya mashabiki wa Liverpool baada ya kuifungia timu hiyo bao la pili dakika ya 69 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya AFC Bournemouth leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Anfield. Mabao mengine yamefungwa na Msenegali Sadio Mane dakika ya saba na Mbrazil, Roberto Firmino dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Video: Deion Sanders Says He'll Still Be Colorado HC in 5-10 Years amid NFL
Buzz
-
Colorado head coach Deion Sanders has long been rumored to be interested in
making a jump to the NFL, but he made it clear that he doesn't plan on
going…
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment