Marco Asensio akishangilia kibabe baada ya kuifungia bao la ushindi Real Madrid dakika ya 57 ikiilaza 2-1 Bayern Munich usiku huu Uwanja wa Allianz Arena katika Nusu Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bayern Munich walitangulia kwa bao la Josh Kimmich dakika ya 28 kabla ya Marcelo kuisawazishia Real dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Messe, Konzerte und Fußball: Frühzeitig anreisen zum Leverkusen-Spiel
-
Am Sonntag trifft Borussia Dortmund im SIGNAL IDUNA PARK auf Bayer
Leverkusen (Anstoß 17:30 Uhr). Aufgrund mehrerer Veranstaltungen in den
Westfalenhallen ...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment