Wachezaji wa PSG wakishangilia baada ya ushindi wa 7-1 dhidi ya Monaco jana Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris uliowahakikishia taji la ubingwa wa Ligi Kuu ya Ufaransa, maarufu kama Ligue 1. Mabao ya Monaco jana yalifungwa na Giovani Lo Celso, Angel Di Maria kila mmoja mawili, Edinson Cavani, Radamel Falcao aliyejifunga na Julian Draxler, wakati la Monaco lilifungwa na Rony Lopes PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Rumors: 76ers Didn't File Formal Protest over Officiating After G2 Loss
to Knicks
-
The Philadelphia 76ers declared their intentions to file a grievance with
the NBA over the officiating in the first two games of their first-round
playoff…
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment