Thomas Muller akishangilia baada ya kufunga mabao matatu peke yake dakika za 52, 64 na 78 katika ushindi wa 6-2 wa Bayern Munich dhidi ya Bayer Leverkusen kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Ujerumani usiku wa Jumanne Uwanja wa BayArena mjini Leverkusen. Mabao mengine ya Bayern Munich yamefungwa na Robert Lewandowski dakika ya tatu na sita na Thiago Alcântara dakika ya 61, wakati ya Bayer Leverkusen yamefungwa na Lars Bender dakika ya 16 na Leon Bailey dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Draft 2024 Rumors: Broncos 'Quietly Did A Lot of Work' on Bo Nix Amid
QB Buzz
-
The Denver Broncos traded for Zach Wilson, but that might not take them out
of the quarterback game during Thursday's NFL draft. Albert Breer of The
MMQB…
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment