Winga wa zamani wa Newcastle United, Florian Thauvin akishangilia baada ya kuifungia Olympique Marseille bao la kwanza dakika ya 15 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Salzburg kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya kwanza ya UEFA ya Europa League leo Uwanja wa Stade Vélodrome mjin Marseille. Bao la pili la Marseille limefungwa na Clinton N'Jie dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cowboys' Dak Prescott: 'I'm Not Trying to Be' NFL's Highest-Paid QB on Next
Contract
-
Dallas Cowboys quarterback Dak Prescott revealed to reporters that he and
owner Jerry Jones have not yet begun contract extension talks. However, he
spoke…
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment