Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia bao la tatu na la ushindi Chelsea dakika ya 78 ikitoka nyuma kwa 2-0 na kushinda 3-2 dhidi ya wenyeji, Southampton leo Uwanja wa St. Mary's katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Giroud pia alifunga bao la kwanza Chelsea dakika ya 70, kabla ya Eden Hazard kufunga la pili dakika ya 75, wakati mabao ya Watakatifu yalifungwa na Dusan Tadic dakika ya 21 na Jan Bednarek dakika ya 60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Miami Heat fans are SLAMMED by Kendrick Perkins for leaving 'too many'
empty seats for crucial play-in game against the Chicago Bulls... as they
are labelled 'not a great fanbase'
-
During ESPN's broadcast, the retired NBA center expressed his frustration
with the amount of empty seats at Kaseya Center in what could have been the
Heat'...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment