Nyota wa Barcelona, Nelson Semedo (kushoto) na Lionel Messi (katikati) wakimpongeza mwenzao, Ousmane Dembele baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 36 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Celta Vigo usiku wa Jumanne Uwanja wa de Balaidos mjini Vigo kwenye mchezo wa La Liga. Bao lingine la Barca ambayo nyota wake Luis Suarez alikuwa benchi huku Messi akiingia dakika ya 60 kuchukua nafasi ya Phillippe Coutinho, limefungwa na Paco Alcecer dakika ya 64, wakati ya Celta Vigo yamefungwa na Jonny Castro dakika ya 45 na Iago Aspas dakika ya 82. Barca ilimaliza pungufu baada ya Sergi Roberto aliyeingia dakika ya 60 kuchukua nafasi ya Andre Gomes kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 71 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
PLAYER RATINGS: Phil Foden rewarded Pep Guardiola for granting him freedom
and Kyle Walker was relentless, but which Brighton star learnt brutal
lesson and earned 4/10?
-
PLAYER RATINGS: Mail Sport's Kieran Gill rates the players as Manchester
City cruised to a 4-0 win over Brighton as the reigning champions closed
the gap t...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment