Wachezaji wa Yanga wakiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sir Seretse mjini Gaborone, Botswana leo kutoka Dar es Salaam tayari kwa mchezo wa marudiano Raundi ya Kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya wenyeji, Township Rollers FC Jumamosi mjini humo
Wachezaji wa Yanga wakienda kwenye basi lililofiuka kuwapokea
Yanga wanahitaji ushindi wa mabao 2-0 Jumamosi ili kwenda hatua ya makundi
Na hiyo ni baada ya kufungwa mabao 2-1 kwenye mchezo wa kwanza Dar es Salaam
Kiungo Mzimbabwe, Thabani Kamusoko ni miongoni mwa wachezaji waliowasili Gaborone
Kocha Mzambia, George Lwandamina anaonekana mwenye kujiamini kuelekea mchezo huo
Raducanu withdraws from Miami Open
-
Britain's Emma Raducanu withdraws from this week's Miami Open tournament
with a reported lower back injury.
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment