Mshambuliaji wa Yanga, Obrey Chirwa akipiga mpira mbele ya beki wa Kagera Sugar, Mwaita Gereza katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 3-0
Winga wa Yanga, Emmanuel Martin akimtoka beki wa Kagera Sugar, Mohammed Fakhi
Mshambuliaji wa Yanga, Ibrahim Ajib akimtoka Mwaita Gereza wa Kagera Sugar
Kiungo wa Yanga SC, Pius Buswita akipasua katikati ya wachezaji wa Kagera Sugar
Ibrahim Ajib (kuhoso) akitafuta maarifa ya kumpia Mwaita Gereza (kulia)
Beki wa Yanga, Hassan Kessy akiuwahi mpira dhidinya Atupele Green wa Kagera Sugar
Kiungo wa Yanga, Thabani Kamusoko akipoga mpira
Yussuf Mhilu wa Yanga akiuvuta mpira mbele ya wachezaji wa Kagera Suhar
Kikosi cha Yanga kabla ya mchezo wa jana
Kikosi cha Kagera Sugar kabla ya mchezo wa jana
Man City thrash Brighton to go second in table
-
Manchester City move to within one point of Premier League leaders Arsenal
by thrashing Brighton 4-0 at Amex Stadium.
5 minutes ago
0 comments:
Post a Comment