Kocha Arsene Wenger (kushoto) akisikitika baada ya timu yake, Arsenal kuchapwa mabao 2-1 na wenyeji, Brighton & Hove Albion katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa The AMEX, Falmer, East Sussex. Mabao ya Brighton & Hove Albion yamefungwa na Lewis Dunk dakika ya saba na Glenn Murray dakika ya 26, kabla ya Pierre-Emerick Aubameyang kuifungia Arsenal dakika ya 43 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Woj: Heat Could Pursue Trade for All-Star-Level Player During NBA Offseason
-
The Miami Heat are heading to the postseason after beating the Chicago
Bulls in the play-in tournament Friday night, but the team could be gearing
up for a…
5 minutes ago
0 comments:
Post a Comment